info@hazinasaccos.co.tz +255 710 933 944
English | Swahili
Contact Us
emblem

HAZINA SACCOS

HAZINA SAVING AND CREDIT COOPERATIVE SOCIETY LTD
CHAMA CHA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO CHA HAZINA
hazina Logo
  • Kuhusu Sisi
    Historia Dira, Dhamira & Maadili Ukuaji
  • Uongozi
    Muundo Wajumbe wa Board Menegementi Kamati Ya Usimamizi Watendaji
  • Huduma Zetu
    Akiba Hisa Amana Mikopo Historia
  • Habari & Matukio
    Habari Matukio Video Maswali ya Wateja
  • Mifumo
    Portal Yetu Staff Mail
  • Nakala
  • Wasiliana Nasi
  1. Muundo

Hazina SACCOS inaongozwa na Wajumbe wa Bodi saba na Kamati ya Usimamizi yenye Wajumbe watatu ambao wote ni Watumishi wa Wizara ya fedha na mipango .Pamoja na hao, usimamizi wa shughuli za kila siku za Chama uko chini ya Mtendaji Mkuu na Menejiment yake kwa ujumla. Hazina SACCOS iko chini ya ulezi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha. Aidha , Chama kinaendesha shughuli zake kwa kuzingatia sheria ya huduma ndogo za fedha na 10 ya mwaka 2018 na sheria ya ushirika namba 6 ya mwaka 2013 pamoja na Masharti ya Chama na sera mbalimbali za Chama.

Hazina Saccos

Chama cha ushirika wa akiba na mikopo kilichopo Tanzania, kinachotoa huduma za kifedha kwa wanachama wake ili kuwasaidia kujiimarisha kiuchumi.

Viungo Muhimu

  • Kuhusu Sisi
  • Huduma zetu
  • Uongozi
  • Wasiliana Nasi

Msaada

  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Msaada
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Usaidizi

Wasiliana Nasi

  • Madaraka Avenue, Kivukoni, Tanzania
  • info@hazinasaccos.co.tz
  • +255 710 933 944

© 2025 Hazina SACCOS. Haki zote zimehifadhiwa.