
FESTO BOAZ MWAIPAJA
CEOWelcome Message
Karibu Hazina SACCOS Ltd; Tunajivunia kuwa ushirika wa kifedha ambao unawawezesha wafanyakazi wa umma Tanzania Bara kutimiza malengo yako ya kiuchumi. Tumejitolea kutoa huduma bora, kwa wakati, riba nafuu, na fursa za uwekezaji kwa wanachama wetu. Jiunge nasi leo, na tufanye kazi kwa pamoja kuelekea mafanikio yako ya kifedha
0
38.6 Bilioni
Akiba na Amana
0
9806
Wanachama
0
37.6 Bilioni
Mikopo
0
45.3 Bilioni
Rasilimali za chama
Aina Za Mikopo
Kiwango cha mkopo huu ni kuanzia Tsh 300,000/= hadi Tsh.1,000,000 bila riba. Muda wa marejesho ni siku 30, mkopo huu hutolewa ndani ya masaa 24 baada ya kukamilisha taratiu za maombi.
Kiwango cha juu cha mkopo huu ni Tsh 5,000,000/= na kutoza riba 1.5% kwa mwezi. Muda wa juu wa marejesho ni miezi 12, mkopo huu hutolewa ndani ya masaa 24 baada ya kukamilisha taratibu za maombi.
Kiwango cha juu cha mkopo huu ni mara tatu (3) ya akiba za mwanachama na kutoza riba ya 0.84%. Muda wa kurejesha mkopo huu ni miezi 12 – 60. Hutolewa mwishoni mwa mwezi na fomu hupokelewa kuanzia tarehe 1-20 ya kila mwezi.
Kiwango cha juu cha mkopo huu ni Tsh 5,000,000/= na kutoza riba ya 0.42%. Muda wa kurejesha mkopo ni miezi 24. Fomu hupokelewa kuanzia tarehe 1 – 20 ya kila mwezi.
Kiwango cha juu cha mkopo huu ni mara tatu (3) ya akiba za mwanachama na kutoza riba ya 0.84% kwa mwezi. Muda wa kurejesha mkopo huu ni miezi 12 – 60. Fomu hupokelewa kuanzia tarehe 1-20 ya kila mwezi.
Hutegemea na taratibu zitakazowekwa na chama kwa wakati huo.
Habari Za Hivi Karibuni
Videos
Wadau Wetu





